Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 29:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakuu watano wa Wafilisti walipokuwa wakipita na vikosi vyao vya mamia na maelfu, Daudi naye akiwa na watu wake pamoja na Akishi walikuwa wanafuata upande wa nyuma wa jeshi hilo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 29

Mtazamo 1 Samueli 29:2 katika mazingira