Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 27:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi hakumwacha mtu yeyote hai awe mwanamume au mwanamke ili aletwe Gathi; alifikiri moyoni: “Wanaweza wakaeleza juu yetu na kusema, ‘Daudi alifanya kitendo hiki na kile.’” Hivyo ndivyo Daudi alivyozoea kutenda wakati wote alipoishi katika nchi ya Wafilisti.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 27

Mtazamo 1 Samueli 27:11 katika mazingira