Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 27:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akajisemea moyoni, “Siku moja, Shauli ataniangamiza. Jambo jema kwangu ni kukimbilia katika nchi ya Wafilisti. Shauli atakata tamaa kunitafuta ndani ya mipaka ya nchi ya Israeli, nami nitakuwa salama kutoka mikononi mwake.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 27

Mtazamo 1 Samueli 27:1 katika mazingira