Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 23:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi alibaki ngomeni jangwani, katika nchi ya milima ya mbuga za Zifu. Shauli alimtafuta kila siku, lakini Mungu hakumtia Daudi mikononi mwa Shauli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 23

Mtazamo 1 Samueli 23:14 katika mazingira