Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 22:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi aliwaacha wazazi wake wakae na mfalme wa Moabu; nao wakakaa kwake muda wote ambao Daudi alikuwa ngomeni.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 22

Mtazamo 1 Samueli 22:4 katika mazingira