Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 22:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutoka huko, Daudi alikwenda mpaka huko Mizpa nchini Moabu. Akamwambia mfalme wa Moabu, “Nakuomba, baba yangu na mama yangu wakae hapa kwako mpaka nijue Mungu atanifanyia nini.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 22

Mtazamo 1 Samueli 22:3 katika mazingira