Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 21:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahimeleki akamjibu, “Ninao ule upanga wa Mfilisti Goliathi uliyemuua kwenye bonde la Ela; uko nyuma ya kizibao cha kuhani umefungwa katika kitambaa. Ikiwa unataka kuuchukua huo basi, uchukue kwani hakuna upanga mwingine hapa.” Daudi akamwambia, “Hakuna upanga mwingine kama huo; nakuomba unipe.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 21

Mtazamo 1 Samueli 21:9 katika mazingira