Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akamwambia Ahimeleki, “Je, una upanga au mkuki ambao unaweza kunipatia? Kwa kuwa shughuli za mfalme zilinilazimu niondoke haraka, nami niliondoka bila upanga wangu wala silaha nyingine yoyote.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 21

Mtazamo 1 Samueli 21:8 katika mazingira