9. Yonathani akamjibu, “Wazo hilo na liwe mbali nawe. Hakika, kama ningejua kuwa baba yangu amekusudia mabaya juu yako nisingekuficha.”
10. Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?”
11. Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.