Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Yonathani akamjibu, “Wazo hilo na liwe mbali nawe. Hakika, kama ningejua kuwa baba yangu amekusudia mabaya juu yako nisingekuficha.”

10. Daudi akauliza, “Nitajuaje ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?”

11. Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20