Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo nifanyie kwa hisani yako kwani umefanya agano takatifu nami, mimi mtumishi wako, mbele ya Mwenyezi-Mungu. Lakini, kama nimefanya kosa basi, na uniue wewe mwenyewe; kwa nini unipeleke kwa baba yako ili aniue?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:8 katika mazingira