Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Yonathani, huku akiwa amekasirika sana, aliondoka mezani kwa haraka, wala hakula chakula chochote siku hiyo ya pili ya sherehe za mwezi mwandamo. Yonathani alihuzunika sana juu ya Daudi kwa sababu baba yake alikuwa amemwaibisha.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:34 katika mazingira