Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia Shauli, “Mimi ni nani hata mfalme awe baba mkwe wangu? Ukoo wangu wenyewe na hata jamaa ya baba yangu si maarufu katika Israeli.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:18 katika mazingira