Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akamwambia Daudi, “Huyu ni Merabu, binti yangu mkubwa, nitakuoza awe mke wako kwa masharti mawili: Uwe askari wangu shupavu na mtiifu, upigane vita vya Mwenyezi-Mungu.” [Shauli alidhani kwa njia hiyo Wafilisti watamuua Daudi, ili kitendo hicho asikifanye yeye mwenyewe.]

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:17 katika mazingira