Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Yese akamwita Abinadabu na kumleta mbele ya Samueli. Lakini Samueli akasema, “Wala huyu hakuchaguliwa na Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 16

Mtazamo 1 Samueli 16:8 katika mazingira