Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 16:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mwenyezi-Mungu alimwambia, “Usiangalie sura yake na urefu wa kimo chake. Mimi nimemkataa kwani siangalii mambo kama wanavyoyaangalia binadamu wenye kufa. Binadamu huangalia uzuri wa nje, lakini mimi naangalia moyoni.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 16

Mtazamo 1 Samueli 16:7 katika mazingira