Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 15:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli alisikia kuwa Shauli alikuwa amekuja huko Karmeli na amesimamisha mnara wa ukumbusho wake, na kwamba amekwenda Gilgali. Hivyo, kesho yake, Samueli aliamka asubuhi na mapema akaenda kukutana na Shauli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 15

Mtazamo 1 Samueli 15:12 katika mazingira