Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawaambia, “Nendeni mkawaambie watu wote walete ng'ombe na kondoo wao hapa, wawachinje na kuwala hapa. Wasitende dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu, kwa kula nyama yenye damu.” Hivyo, usiku ule wote walipeleka ng'ombe wao na kuwachinjia hapo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:34 katika mazingira