Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wengine wakamwambia Shauli, “Tazama watu wanatenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu kwa kula nyama yenye damu.” Shauli akawaambia watu, “Nyinyi ni wahaini. Vingirisheni jiwe kubwa hapa kwangu.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:33 katika mazingira