Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 13:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akamjibu Shauli, “Umefanya kipumbavu. Hukutii aliyokuamuru Mwenyezi-Mungu, Mungu wako. Kama ungetii, Mwenyezi-Mungu angeudumisha milele ufalme wako juu ya Israeli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 13

Mtazamo 1 Samueli 13:13 katika mazingira