Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 12:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wao walimsahau Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, naye akawatia mikononi mwa Sisera, kamanda wa jeshi la Hazori, na mikononi mwa Wafilisti na mikononi mwa mfalme wa Moabu. Mataifa hayo yalipigana na babu zenu na kuwashinda.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 12

Mtazamo 1 Samueli 12:9 katika mazingira