Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 12:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Babu zenu wakamlilia Mwenyezi-Mungu, wakisema, ‘Tumefanya dhambi kwa sababu tumekuacha wewe Mwenyezi-Mungu, kwa kutumikia Mabaali na Maashtarothi. Tuokoe kutoka mikononi mwa adui zetu, nasi tutakutumikia’.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 12

Mtazamo 1 Samueli 12:10 katika mazingira