Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 10:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutoka hapo utakwenda kwenye mwaloni wa Tabori, mahali ambapo utakutana na wanaume watatu wakiwa njiani kwenda kumtolea Mungu tambiko, huko Betheli. Mmoja wao atakuwa anawachukua wanambuzi watatu, wa pili atakuwa anachukua mikate mitatu na wa tatu atakuwa amebeba kiriba cha divai.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 10

Mtazamo 1 Samueli 10:3 katika mazingira