Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 10:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Leo tutakapoagana, utakutana na watu wawili karibu na kaburi la Raheli huko Selsa katika nchi ya Benyamini. Hao watakuambia kuwa wale punda uliokuwa unawatafuta wamekwisha patikana. Baba yako ameacha kufikiri juu ya punda, ila ana wasiwasi juu yako, akijiuliza kila mara, ‘Nitafanya nini juu ya mwanangu?’

Kusoma sura kamili 1 Samueli 10

Mtazamo 1 Samueli 10:2 katika mazingira