Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 1:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Elkana, mumewe, kila mara alimwuliza, “Kwa nini unalia? Kwa nini hutaki kula? Kwa nini una huzuni moyoni mwako? Je, mimi si bora kwako kuliko watoto kumi wa kiume?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 1

Mtazamo 1 Samueli 1:8 katika mazingira