1. Benyamini alikuwa na wana watano: Bela, mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli wa pili, Ahara wa tatu,
2. Noha wa nne na Rafa wa tano.
3. Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,
4. Abishua, Naamani, Ahoa,
5. Gera, Shufamu na Huramu.
6. Hawa ndio wazawa wa Ehudi. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa za wale waliokuwa wakiishi Geba, lakini wakachukuliwa mateka uhamishoni Manahathi;