Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 8:1-6 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Benyamini alikuwa na wana watano: Bela, mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli wa pili, Ahara wa tatu,

2. Noha wa nne na Rafa wa tano.

3. Bela naye alikuwa na wana: Adari, Gera, Abihudi,

4. Abishua, Naamani, Ahoa,

5. Gera, Shufamu na Huramu.

6. Hawa ndio wazawa wa Ehudi. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa za wale waliokuwa wakiishi Geba, lakini wakachukuliwa mateka uhamishoni Manahathi;

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 8