Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 4:11-13 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Kelubu, nduguye Shuha, alimzaa Mehiri na Mehiri akamzaa Eshtoni.

12. Eshtoni alikuwa na wana watatu: Beth-rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa mwanzilishi wa mji wa Ir-nahashi. Wazawa wa watu hawa waliishi Reka.

13. Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya; na wana wa Othnieli walikuwa Hathathi na Meonothai.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 4