Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 27:28-31 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Aliyesimamia mizabibu na mikuyu ya Shefela alikuwa Baal-hanani, Mgederi. Aliyesimamia ghala za mafuta alikuwa Yoashi.

29. Aliyesimamia mifugo iliyokuwa Sharoni alikuwa Shitrai, Msharoni; aliyesimamia mifugo iliyokuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.

30. Aliyesimamia ngamia alikuwa Obili Mwishmaeli. Aliyesimamia punda alikuwa Yedeya, Mmeronothi. Aliyesimamia makundi ya kondoo alikuwa Yazizi, Mhagri.

31. Hao wote walikuwa watunzaji wa mali ya mfalme Daudi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 27