Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 27:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Yonathani, mjomba wa mfalme Daudi, alikuwa mshauri na mtu mwenye ufahamu na mwandishi. Yeye na Yehieli mwana wa Hakmoni waliwafunza wana wa mfalme.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 27

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 27:32 katika mazingira