Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 25:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wana sita wa Yeduthuni: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia na Matithia. Wao walikuwa chini ya uongozi wa baba yao; na walitabiri kwa kutumia vinubi, na wakamshukuru na kumtukuza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 25

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 25:3 katika mazingira