Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 24:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hayo ndiyo makundi ya wazawa wa Aroni. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

2. Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, wala hawakuwa na watoto; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakawa makuhani.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 24