Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 24:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi aliwapanga wazawa wa Aroni katika makundi kufuatana na huduma zao. Alisaidiwa kufanya hivyo na Sadoki, mzawa wa Eleazari, na Ahimeleki, mzawa wa Ithamari.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 24

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 24:3 katika mazingira