Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 20:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Naye alipowatukana Waisraeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, alimuua.

8. Hao walikuwa wazawa wa majitu huko Gathi; nao waliuawa na Daudi pamoja na watumishi wake.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 20