Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye kulitokea tena vita huko Gathi ambako kulikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na kimo kikubwa, na vidole sita katika kila mkono, na vidole sita katika kila mguu, jumla yake vidole ishirini na vinne. Yeye pia alikuwa mzawa wa majitu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 20

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 20:6 katika mazingira