Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 20:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, kulitokea vita na Wafilisti huko Gezeri. Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai aliyekuwa mmojawapo wa wazawa wa Warefai; hivyo Wafilisti wakawa wameshindwa.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 20

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 20:4 katika mazingira