Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 20:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu aliwachukua watu wa mji huo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sururu za chuma na mashoka ya chuma. Hivyo ndivyo alivyoitenda miji yote ya Waamoni. Hatimaye Daudi na watu wote wakarudi Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 20

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 20:3 katika mazingira