Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 12:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Askari wengine wa kabila la Manase, walitoroka na kujiunga na Daudi, wakati alipoondoka pamoja na Wafilisti kwenda kupigana na mfalme Shauli. (Lakini hata hivyo, hakuwasaidia maana watawala wa Wafilisti walifanya shauri wamfukuze arudi Siklagi wakisema, “Tutayahatarisha maisha yetu kwa sababu atatutoroka arudi kwa bwana wake Shauli.”)

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 12

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 12:19 katika mazingira