Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:6-17 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Difathi na Togama.

7. Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

8. Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misri, Puti na Kanaani.

9. Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.

10. Kushi alimzaa Nimrodi, aliyekuwa mtu shujaa wa kwanza duniani.

11. Wazawa wa Misri ni Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

12. Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

13. Wana wa Kanaani walikuwa Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi.

14. Kanaani pia ndiye babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

15. Wahivi, Waarki, Wasini,

16. Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

17. Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuri, Arpaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1