Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:5-8 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

6. Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Difathi na Togama.

7. Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

8. Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misri, Puti na Kanaani.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1