Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:44-46 Biblia Habari Njema (BHN)

44. Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra alitawala badala yake.

45. Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemi alitawala badala yake.

46. Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi alitawala badala yake, makao yake makuu yakiwa katika mji wa Avithi. Huyu ndiye aliyewapiga na kuwashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1