23. Ofiri, Havila na Yobabu. Hao watu ni wana wa Yoktani.
24. Ukoo wa Abrahamu kutokea Shemu ni kama ifuatavyo: Shemu alimzaa Arpaksadi, naye Arpaksadi akamzaa Shela.
25. Shela akamzaa Eberi, Eberi akamzaa Pelegi, Pelegi akamzaa Reu;
26. Reu akamzaa Serugi, Serugi akamzaa Nahori, Nahori akamzaa Tera,
27. na Tera akamzaa Abramu, ambaye ndiye Abrahamu.
28. Abrahamu alikuwa na watoto wawili wa kiume: Isaka na Ishmaeli.
29. Hivi ndivyo vizazi vyao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi na wengine ni Kedari, Adbeeli, Mibsamu,