Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:21-28 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Hadoramu, Uzali, Dikla,

22. Obali, Abimaeli, Sheba,

23. Ofiri, Havila na Yobabu. Hao watu ni wana wa Yoktani.

24. Ukoo wa Abrahamu kutokea Shemu ni kama ifuatavyo: Shemu alimzaa Arpaksadi, naye Arpaksadi akamzaa Shela.

25. Shela akamzaa Eberi, Eberi akamzaa Pelegi, Pelegi akamzaa Reu;

26. Reu akamzaa Serugi, Serugi akamzaa Nahori, Nahori akamzaa Tera,

27. na Tera akamzaa Abramu, ambaye ndiye Abrahamu.

28. Abrahamu alikuwa na watoto wawili wa kiume: Isaka na Ishmaeli.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1