Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:2-5 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Kenani akamzaa Mahalaleli, Mahalaleli akamzaa Yaredi,

3. Yaredi akamzaa Henoki, Henoki akamzaa Methusela. Methusela alimzaa Lameki,

4. Lameki akamzaa Noa. Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

5. Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1