Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:18-26 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Arpaksadi alimzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.

19. Eberi alikuwa na wana wawili; mmoja wao aliitwa Pelegi, (kwa maana wakati wake watu walikuwa wametawanyika duniani), na ndugu yake aliitwa Yoktani.

20. Wana wa Yoktani walikuwa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,

21. Hadoramu, Uzali, Dikla,

22. Obali, Abimaeli, Sheba,

23. Ofiri, Havila na Yobabu. Hao watu ni wana wa Yoktani.

24. Ukoo wa Abrahamu kutokea Shemu ni kama ifuatavyo: Shemu alimzaa Arpaksadi, naye Arpaksadi akamzaa Shela.

25. Shela akamzaa Eberi, Eberi akamzaa Pelegi, Pelegi akamzaa Reu;

26. Reu akamzaa Serugi, Serugi akamzaa Nahori, Nahori akamzaa Tera,

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1