Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:16-23 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

17. Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuri, Arpaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

18. Arpaksadi alimzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.

19. Eberi alikuwa na wana wawili; mmoja wao aliitwa Pelegi, (kwa maana wakati wake watu walikuwa wametawanyika duniani), na ndugu yake aliitwa Yoktani.

20. Wana wa Yoktani walikuwa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,

21. Hadoramu, Uzali, Dikla,

22. Obali, Abimaeli, Sheba,

23. Ofiri, Havila na Yobabu. Hao watu ni wana wa Yoktani.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1