Agano la Kale

Agano Jipya

Wakolosai 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Epafra, mwananchi mwenzenu na mtumishi wa Kristo Yesu, anawasalimuni. Daima anawaombeeni nyinyi kwa bidii ili mpate kusimama imara, mkomae na kuwa thabiti kabisa katika mambo yote anayotaka Mungu.

Kusoma sura kamili Wakolosai 4

Mtazamo Wakolosai 4:12 katika mazingira