Agano la Kale

Agano Jipya

Wakolosai 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Yoshua aitwaye Yusto, anawasalimuni. Miongoni mwa Wayahudi waliokwisha pokea imani, hawa tu peke yao, ndio wanaofanya kazi pamoja nami kwa ajili ya ufalme wa Mungu; nao wamekuwa msaada mkubwa kwangu.

Kusoma sura kamili Wakolosai 4

Mtazamo Wakolosai 4:11 katika mazingira