Agano la Kale

Agano Jipya

Wakolosai 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe nyinyi.

Kusoma sura kamili Wakolosai 3

Mtazamo Wakolosai 3:13 katika mazingira