Agano la Kale

Agano Jipya

Wagalatia 4:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu ya udhaifu wangu ingawa mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama vile ningekuwa Kristo Yesu mwenyewe.

Kusoma sura kamili Wagalatia 4

Mtazamo Wagalatia 4:14 katika mazingira