Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 4:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.

Kusoma sura kamili Ufunuo 4

Mtazamo Ufunuo 4:5 katika mazingira