Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 22:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, Mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uhai, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.

Kusoma sura kamili Ufunuo 22

Mtazamo Ufunuo 22:19 katika mazingira